Back to home

Viongozi watoa wito wa amani kufuatia machafuko Kitui

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 30, 2026
2h ago
Viongozi kutoka maeneo ya kaskazini mashariki wamekashifu vikali machafuko yanayoendelea eneo la Mwingi, na kutaka asasi za usalama kuwajibika na kuimarisha doria. Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka ameongoza viongozi wengine kuwarai wakazi kusitisha mapigano akisema kuwa ulipishaji
Advertisement