Back to home
Askofu Muheria aikosoa serikali kuhusu utekelezaji wa ahadi
video
C
Citizen TV (Youtube)May 1, 2026
1h ago
Askofu mkuu wa kanisa katoliki jimbo la Nyeri Anthony Muheria,ameonekana kumkosoa rais William Ruto kuhusiana na anazozitaja kama ahadi za kila mara kwa taifa ambazo hazitekelezwi.
Advertisement
Advertisement





