Back to home
Gavana Kang’ata ajiondoa UDA
video
C
Citizen TV (Youtube)May 3, 2026
1h ago
Gavana wa Murang'a Irung'u Kang'ata amejiondoa kutoka chama cha UDA akisema hatawania kiti cha ugavana kupitia chama hicho mwaka ujao. Tangazo la Kang'ata limejiri saa kadhaa baada ya kuwa mwenyeji wa rais William Ruto huko Murang'a. Hata hivyo, Kang'ata hakutangaza chama cha kis
Advertisement
Advertisement



