Back to home

Rashid na Lulu washinda tuzo ya wanahabari bora Afrika mara ya pili mfululizo

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 3, 2026
3h ago
Watangazaji wa Citizen TV walitamba katika tuzo za Africa Golden Awards zilizofanyika usiku wa jana jijini Nairobi. Lulu Hassan alikabidhiwa tuzo ya mtangazaji bora wa kike barani Afrika huku Rashid Abdalla akiibuka mshindi wa tuzo ya mwanahabari bora wa kiume barani Afrika. Hii
Advertisement