Back to home
Watu wawili wauawa katika vurugu za Luanda, Vihiga, shughuli zikatizwa
video
C
Citizen TV (Youtube)May 4, 2026
3h ago
watu wawili wameuwawa katika kijiji cha Luanda kaunti ya Vihiga baada ya kupigwa risadi na maafisa wa polisi. Tukio hili likijiri kufuatia mzozo uliozuka
baada ya waendeshaji bodaboda mjini humo kudai kuhangaishwa na polisi na kukamatwa kiholela.
Advertisement
Advertisement





