Back to home

Wanafunzi kutoka jamii maskini wafaidika Turkana

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 5, 2026
3h ago
Gavana wa Kaunti ya Turkana Jeremiah Lomorukai ameitaka tume yaufisadi nchini EACC kuchunguza na kuchukua hatua za kisheria dhidi ya maafisa wa elimu watakaopatikana wameshiriki ubadhirifu wa pesa za basari katika taasisi za elimu kwenye Kaunti hiyo. Akizungumza wakati wa uzinduz
Advertisement