Back to home
Mwanamke bomba | Christine Leseewa avunja vikwazo vya mila na kufungua duka la vitabu Samburu
video
C
Citizen TV (Youtube)May 5, 2026
3h ago
Idadi kubwa ya wanawake katika Kaunti ya Samburu wameathirika na mila zinazolemaza ndoto zao, hasa ndoa za mapema zinazowanyima fursa ya elimu. Hata hivyo, Christine Leseewa, ambaye ni mama wa watoto sita na anayehudumu kama kasisi, ni mfano hai wa waathiriwa hao lakini hakukata
Advertisement
Advertisement









