Back to home
Wafugaji wa ng'ombe wahimizwa kujiunga na mashirika Kilgoris
video
C
Citizen TV (Youtube)May 6, 2026
2h ago
Wafugaji wa Ng'ombe kati kijiji cha Nkorienito huko Kilgoris wamehimizwa kujumuisha pato la maziwa kwa mashirika ya kilimo na mauzo nchini na ugenini ili kupata faida.
Wakizungumza katika hafla maalum ambapo wakulima kutoka mashirika 300 katika eneo hilo walipewa vyeti baada ya m
Advertisement
Advertisement





