Back to home

Uhaba wa madaktari wa meno umetajwa kuwa tatizo kubwa Teso Kaskazini

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 6, 2026
2h ago
Uhaba wa madaktari wa meno pamoja na ukosefu wa elimu ya afya ya kinywa katika eneo bunge la Teso Kaskazini kaunti ya Busia umepelekea wengi wa wakazi kupatata matatizo sugu ya meno na kulazimika kuyang'oa. Haya yalibainika kwenye kambi ya matibabu ya bure iliyoandaliwa na madak
Advertisement