Back to home
Raia mmoja wa Somalia aachiliwa kwa dhamana ya ksh. 200,000 kwenye kesi ya ulaghai
video
C
Citizen TV (Youtube)May 6, 2026
2h ago
Raia mmoja wa Somalia, Salma Osman Gureye , ameachiliwa kwa dhamana ya shilingi laki mbili pesa taslimu kwenye kesi ya ulaghai na kutoa habari za uwongo kwa afisa wa serikali.
Mshukiwa huyo aliwasilishwa katika mahakama ya Makadara ambapo upande wa mashtaka ulikuw aumeomba azuil
Advertisement
Advertisement




