Back to home

Wasiwasi umezidi kuhusu ongezeko la ndoa za utotoni Baringo Kusini

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 6, 2026
2h ago
Wasiwasi umezidi kuhusu ongezeko la visa vya ndoa za utotoni katika eneo la Baringo Kusini. Kwenye kongamano lililowaleta pamoja wakuu wa shule, wenyekiti wa bodi za shule na wasimamizi wa serikali za mitaa, ilibainika kuwa mimba za uttoni zimeathiri vibaya masomo ya wasichana e
Advertisement