Back to home

Police FC yadhibiti nafasi ya tatu baada ya ushindi dhidi ya Murang’a Seal

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 6, 2026
3h ago
Police FC imedhibiti nafasi yao ya tatu kwenye jedwali ya Ligi Kuu ya kandanda baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Murang'a Seal FC katika uwanja wa Police Sacco. Kipindi cha kwanza kiliisha sare ya bao 1-1 kabla ya Police FC kupata bao la ushindi katika dakika za lala salama
Advertisement