Back to home
Jaji Mohammed Warsame ameapishwa kama jaji wa Mahakama ya Upeo
video
C
Citizen TV (Youtube)May 7, 2026
2h ago
Jaji Mohammed Abdullahi Warsame ameapishwa rasmi kama jaji wa mahakama ya upeo.
kwenye hafla hiyo iliyofanyika katika ikulu ya nairobi, rais William Ruto alimtaja jaji Warsame kama ambaye amechangia pakubwa tasnia ya uanasheria. rais Ruto amemtaja warsame kama mwenye maadili
Advertisement
Advertisement





