Back to home

Natembeya: Upinzani pia unashirikiana na Linda Mwananchi

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 8, 2026
1h ago
Gavana wa kaunti ya Trans Nzoia George Natembeya ambaye pia ni mwanachama wa muungano wa upinzani amesema kuwa muungano huo umeanzisha harakati za kumteua kinara mmoja atakayemenyana na Rais William Ruto katika uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza baada ya kuwapokea wazee kutoka jamii
Advertisement