Back to home

Ligi kuu ya voliboli: Kenya Pipeline waishinda Postbank seti 3 kwa 1 katika ukumbi wa Nyayo

video
N
NTV Kenya (Youtube)
May 8, 2026
4h ago
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya voliboli ya wanawake nchini, Kenya Pipeline wameishinda Postbank seti 3 kwa 1 katika ukumbi wa uwanja wa taifa wa Nyayo. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates,
Advertisement