Back to home
Wagwiji wa Harambee Stars washiriki mchuano kuchangisha pesa za kujenga vyuo katika mitaa ya mabanda
video
C
Citizen TV (Youtube)May 8, 2026
3h ago
Wachezaji wastaafu wa Harambee Stars wakiongozwa na kocha mzoefu John Bobby Ogola walishiriki mchuano wa Igaming Africa Summit uliofanyika katika uwanja wa Goan Gymkhana mtaani Parklands hapa jijini Nairobi.
Wengine walioshiriki mchezo huo ni aliyekuwa mlinda lango Matthew "Ottam
Advertisement
Advertisement





