Back to home

Hellen Wawira kupeperusha bendera ya Kenya mashindano ya kunyanyua uzani Algeria

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 8, 2026
6h ago
Mcheza kunyanyua uzani Hellen Wawira anatazamiwa kupeperusha bendera ya Kenya kwenye mashindano ya kunyanyua uzani kwa walemavu yatakayofanyika mjini Oran, Algeria baadaye mwezi huu. Michuano hiyo ya bara Afrika inatarajiwa kuvutia wanariadha wakuu kutoka kote barani, huku Wawira
Advertisement