Back to home
Watu sita wauawa katika shambulio Mandera
video
C
Citizen TV (Youtube)May 9, 2026
1h ago
Watu sita wameuawa na wengine kujeruhiwa katika shambulio huko Mandera. Kulingana na Kamanda wa Polisi wa Mandera Robinson Ndiwa, waathiriwa walikuwa abiria kwenye gari la kukodisha.
Advertisement
Advertisement





