Back to home

Watu sita wauawa katika shambulio Mandera

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 9, 2026
1h ago
Watu sita wameuawa na wengine kujeruhiwa katika shambulio huko Mandera. Kulingana na Kamanda wa Polisi wa Mandera Robinson Ndiwa, waathiriwa walikuwa abiria kwenye gari la kukodisha.
Advertisement