Back to home
Junior Starlets waanza kambi kujiandaa kuvaana na Uganda katika mchujo wa Kombe la Dunia
video
C
Citizen TV (Youtube)May 9, 2026
1h ago
Timu ya taifa ya soka ya wasichana wasiozidi umri wa miaka 17 Junior Starlets imeanza kambi ya kujiandaa kabla ya kuchuana na wenzao Uganda U17 Women's National Team katika michuano ya kusaka tiketi ya Kombe la Dunia.
Advertisement
Advertisement





