Back to home

Profesa Kivutha Kibwana awahimiza vijana kugombea nafasi za uongozi

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 9, 2026
1h ago
Aliyekuwa Gavana wa Kaunti ya Makueni Kivutha Kibwana amewashauri vijana kuwania nyadhifa za uongozi, akisisitiza umuhimu wa ushiriki wao katika uongozi na maamuzi ya kitaifa na kaunti.
Advertisement