Back to home
Familia ya Oscar Mutoka yafanya mazishi Busia bila mwili wake
video
C
Citizen TV (Youtube)May 9, 2026
1h ago
Familia ya mkenya aliyeuwawa katika vita vya Ukraine na Urusi mwezi Agosti mwaka jana imefanya mazishi ya kumuaga mpendwa wao huko Busia bila mwili wa mwendazake kuwa hapo. Marehemu Oscar Mutoka, mwanajeshi wa zamani mwenye umri wa miaka 40 alisafiri kutoka nchini Kenya mwezi Jun
Advertisement
Advertisement





