Back to home
Kenya kwanza wahofia uandikishaji mdogo wa wapiga kura bonde la ufa
video
C
Citizen TV (Youtube)May 10, 2026
4h ago
Viongozi wa Kenya Kwanza wameeleza wasiwasi wao kuhusu idadi ndogo ya wapiga kura waliojitokeza kujiandikisha katika baadhi ya maeneo ya Bonde la Ufa. Wakizungumza wakati wa ziara katika Kaunti ya Nandi, wanasiasa hao wameonya kuwa idadi ndogo ya wakazi wanaojisajili kupiga kura
Advertisement
Advertisement





