Back to home
Familia Mombasa yamsaka wakili aliyepotea wiki tatu zilizopita
video
C
Citizen TV (Youtube)May 11, 2026
1h ago
Familia moja huko Mombasa inamsaka wakili aliyepotea wiki tatu zilizopita. Lena Righa, ambaye ni wakili kutoka Nairobi, alikuwa amesafiri Mombasa kutembelea familia ambapo baadaye alitoweka tarehe 19 Aprili bila kujulikana aliko hadi sasa.
Advertisement
Advertisement





