Back to home
Mamlaka zanasa tani 16 za ngozi za punda kando ya barabara ya Thika-Garissa
video
N
NTV Kenya (Youtube)May 12, 2026
1h ago
Mamlaka zimefanikiwa kunasa tani 16 za ngozi za punda katika eneo la Kanyonyoo kando ya barabara kuu ya Thika-Garissa kufuatia operesheni kali iliyotekelezwa na kikosi cha mashirika mbalimbali ya usalama.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyd
Advertisement
Advertisement





