Back to home
AFC Leopards yashinda Ulinzi Stars na kusalia mbio za ubingwa KPL
video
C
Citizen TV (Youtube)May 13, 2026
2h ago
Timu ya AFC Leopards imeweka hai matumaini yao ya kushinda taji la Ligi Kuu ya Kenya kwa ushindi wa bao 2-0 dhidi ya Ulinzi Stars katika uwanja wa Taifa wa Nyayo. Ingwe inasalia katika nafasi ya pili kwenye ligi, pointi nne nyuma ya vinara Gor Mahia zikiwa zimesalia mechi tatu ms
Advertisement
Advertisement





