Back to home
M-Ajira yazindua usajili wa madereva 500 wa malori kwenda Saudi Arabia Mombasa
video
C
Citizen TV (Youtube)May 14, 2026
2h ago
Kampuni ya M-Ajira imeendelea na zoezi la kuwasajili madereva wa malori makubwa mjini Mombasa kwa nafasi za ajira nchini Saudi Arabia. M-Ajira imeshirikiana na kampuni ya SMASCO kutoka Saudi Arabia kuendesha zoezi hilo kwa siku tatu zijazo katika uwanja wa Tononoka. Zoezi hilo li
Advertisement
Advertisement





