Back to home

Wattanga akumbana na wakati mgumu Bungeni kuidhinishwa kuwa balozi Canada

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 14, 2026
2h ago
Balozi mteule wa Kenya nchini Canada na aliyekuwa Kamishna Mkuu wa KRA, Humphrey Wattanga, amejipata katika njia panda baada ya kushindwa kujibu kikamilifu maswali ya Kamati ya Ulinzi na Mahusiano ya Kigeni iliyomhoji kuhusu uwezo wake. Wattanga alipata wakati mgumu kujibu maswal
Advertisement