Back to home

Kindiki aipinga fidia ya Gachagua mahakamani kuhusu kuondolewa kwake mamlakani

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 14, 2026
1h ago
Naibu Rais Kithure Kindiki kupitia wakili wake Muthomi Thiankolu ameiomba mahakama kutupilia mbali ombi la aliyekuwa mtangulizi wake Rigathi Gachagua la kutaka kulipwa fidia, akisema hatua hiyo itahujumu uamuzi wa Bunge la Seneti wa kumuondoa mamlakani. Hata hivyo, Gachagua kupit
Advertisement