Back to home

Aliyekuwa gavana wa Migori Obado aondolewa hatia ya ufisadi

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 15, 2026
1h ago
Aliyekuwa gavana wa Migori Okoth Obado amepata afueni kubwa baada ya mahakama ya Nairobi kukubali makubaliano yaliyochochea kufutwa kwa mashtaka ya ufisadi yaliyokuwa yakimkabili yeye pamoja na washtakiwa wenzake.
Advertisement