Back to home
IEBC yaonya wanasiasa wanaozua fujo, yatambua changamoto ya vitambulisho kwa wapigakura
video
C
Citizen TV (Youtube)May 15, 2026
4h ago
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi IEBC Erastus Ethekon amesema kwamba tume hiyo itawapiga marufuku wanasiasa na wawaniaji wa nyadhifa mbali mbali, watakaopatikana na hatia ya kuzua ghasia na fujo wakati wa kampeni za uchaguzi. Akizungumza katika mkutano kuhusu maandalizi ya usalama
Advertisement
Advertisement





