Back to home

Kenya Police bullets watwaa ubingwa wa ligi kuu ya wanawake kwa mara ya tatu mfululizo

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 17, 2026
5h ago
Timu ya Kenya Police Bullets wametawazwa mabingwa wa Ligi Kuu kwa wanawake nchini kwa mwaka wa tatu mfululizo. Bullets wamemaliza msimu wao kwa ushindi wa bao moja bila dhidi ya Madira Soccer Assassins na kukamilisha msimu kwa alama 52. Wakati huo huo, timu za Kisumu All Starlet
Advertisement