Back to home
Wakaazi wa Tinderet watishia kujiunga na upinzani iwapo serikali itashindwa kushughulikia kero zao
video
N
NTV Kenya (Youtube)May 18, 2026
2h ago
Wakazi wa kijiji cha Cheptonon, Kwenye Eneo bunge la Tinderet Kaunti ya Nandi, wametishia kujiunga na upinzani iwapo serikali itashindwa kushughulikia kero zao za muda mrefu kuhusu miundombinu duni na ukosefu wa huduma muhimu Mashinani.
Subscribe and watch NTV Kenya live for lat
Advertisement
Advertisement





