Back to home
Wanasiasa wa upinzani wameendelea kukosoa bei za mafuta
video
C
Citizen TV (Youtube)May 18, 2026
6h ago
Viongozi wa Upinzani wameunga mkono mgomo huo wa magari ya uchukuzi. Viongozi hao Kalonzo Musyoka wa Wiper na Fred Matiang'i wa Jubilee wakitoa kauli zao tofauti wameendelea kuilaumu serikali kwa kupuuza kilio cha wakenya kuhusu gharama ya juu ya maisha.
Advertisement
Advertisement




