Back to home

Nyota ya Lydia Waganda: Ameshinda ligi ya wanawake nchini mara sita

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 18, 2026
4h ago
Timu ya wanawake ya Police Bullets ilinyakuwa ubingwa wake wa tatu mfululizo kwenye ligi kuu ya wanawake nchini. Ila kwa mchezaji lydia waganda hili limekuwa taji lake la sita kushinda kwenye ligi hiyo. Mwanaspoti wetu luqman mahmoud alikutana nae na kuandaa taarifa hii.
Advertisement