Back to home

OCS wa Central Nairobi Dishen Angoya akamatwa kwa madai ya kuwaachilia huru waandamanaji 64

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 19, 2026
2h ago
OCS wa kituo cha polisi cha central hapa jijini Nairobi Dishen Angoya anatibiwa katika hospitali ya Langata baada ya kukamatwa kisha akaugua. OCS huyo alikamatwa kwa madai ya kuwaachilia huru waandamanaji 64 waliokamatwa jana kwenye mgomo wa matatu uanaondelea
Advertisement