Back to home

Wasiwasi wa Ebola wazidi Busia, kaunti yaweka tahadhari mipakani

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 19, 2026
8h ago
Wasiwasi umeibuka miongoni mwa wakazi wa Kaunti ya mpakani ya Busia kufuatia hofu za ugonjwa wa Ebola nchini Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Hata hivyo, Waziri wa Afya wa Busia ambaye pia ni Naibu Gavana Arthur Odera amesema serikali ya kaunti imeendelea kuwa macho ku
Advertisement