Back to home
Wakazi wa Mombasa Kisiwani walalamikia uharibifu wa barabara katika eneo la Liwatoni
video
C
Citizen TV (Youtube)May 20, 2026
1h ago
Wakazi wa Mombasa kisiwani walalamikia uharibifu wa barabara katika eneo la Liwatoni ,hali wanayodai sasa yatishia afya yao na usalama wa raiya.
Advertisement
Advertisement





