Back to home

Wakazi wa Mombasa Kisiwani walalamikia uharibifu wa barabara katika eneo la Liwatoni

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 20, 2026
1h ago
‎Wakazi wa Mombasa kisiwani walalamikia uharibifu wa barabara katika eneo la Liwatoni ,hali wanayodai sasa yatishia afya yao na usalama wa raiya. ‎
Advertisement