Back to home
Kenya Yatafuta Wawekezaji Kufadhili Mradi wa Nyumba wa Shilingi Bilioni 400
video
C
Citizen TV (Youtube)May 20, 2026
3w ago
Kenya sasa inatafuta wawekezaji kuwekeza katika mradi wa nyumba ili kufadhili ujenzi wa nyumba kwa kima cha shilingi bilioni 400. Ujumbe wa serikali ulioko Baku ukiongozwa na Waziri wa Ardhi Alice Wahome pamoja na Katibu wa Nyumba Charles Hinga umefanya vikao na wawekezaji wakile
Advertisement
Advertisement




