Back to home
Mashirika Yaikemea Ongezeko la Dhuluma Dhidi ya Wanawake
video
C
Citizen TV (Youtube)May 20, 2026
4h ago
Muungano wa mashirika ya kutetea haki za wanawake wakiongozwa na Federation of Women Lawyers in Kenya (FIDA) umekemea vikali ongezeko la dhuluma dhidi ya wanawake nchini.
Advertisement
Advertisement





