Back to home
Nyamira yazindua mpango wa lishe ya vyakula vya kiasili shuleni
video
C
Citizen TV (Youtube)May 21, 2026
1h ago
Wizara ya elimu, serikali ya kaunti ya Nyamira kwa ushirikiano na National Museums of Kenya wazindua rasmi mpango wa lishe ya vyakula vya kiasili shuleni kama njia ya kukuza lishe bora kwa wanafunzi wa shule za upili nchini.
Advertisement
Advertisement




