Back to home

Wakazi wa mpakani Kenya na Uganda wataka ukaguzi mkali wa wasafiri

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 21, 2026
1h ago
Wakenya wanaoishi katika mpakani wa Kenya na Uganda wameitaka serikali kutilia mkazo vipimo na ukaguzi wa wasafiri wote wanaoingia na kutoka nchini. Wakazi hao wamesema hatua hiyo ni muhimu katika kuimarisha usalama na kudhibiti hatari zinazoweza kujitokeza kupitia mipaka ya nchi
Advertisement