Back to home

Waziri wa kilimo Mutahi Kagwe asema kodi itatumika kuboresha sekta ya chai

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 22, 2026
1h ago
Waziri wa kilimo Mutahi Kagwe atetea utekelezaji wa Kanuni za ushuru wa Chai za mwaka 2026 akisema kuwa ushuru huo haukusudiwi kuwa mzigo kwa wakulima wa chai.
Advertisement