Back to home
Waziri wa kilimo Mutahi Kagwe asema kodi itatumika kuboresha sekta ya chai
video
C
Citizen TV (Youtube)May 22, 2026
1h ago
Waziri wa kilimo Mutahi Kagwe atetea utekelezaji wa Kanuni za ushuru wa Chai za mwaka 2026 akisema kuwa ushuru huo haukusudiwi kuwa mzigo kwa wakulima wa chai.
Advertisement
Advertisement





