Back to home

Ahisani wawasaidia wajane kujikuza kiuchumi Butere katika kaunti ya Kakamega

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 22, 2026
2h ago
Kundi moja la kina mama wajane na wanaoishi na changamoto za kimaumbile huko Buterea kaunti ya Kakamega, waungana kutafuta mbinu za kuinuana kiuchumi huku watoa wito kwa serikali kujenga chuo ama kiwanda kuwezesha eneo la Butere kuimarika kiuchumi.
Advertisement