Back to home
Kinyang’anyiro cha ugavana wa Machakos mwaka 2027 chajitokeza kuwa pambano kali la wagombea watatu
video
N
NTV Kenya (Youtube)May 23, 2026
1h ago
Kinyang’anyiro cha ugavana wa Machakos mwaka 2027 kinajitokeza kuwa pambano kali la wagombea watatu: Gavana Wavinya Ndeti (Wiper), Mbunge wa Mavoko Patrick Makau (Wiper), na aliyekuwa Mkuu wa Utumishi Ikulu Nzioka Waita (UDA).
#NTVWikendi @MwakaFridah
Subscribe and watch NT
Advertisement
Advertisement





