Back to home

Familia Garissa zalala nje baada ya nyumba kubomolewa

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 25, 2026
1h ago
Familia kadhaa katika eneo la Public Works mjini Garissa zinakesha nje kwenye baridi baada ya nyumba zao kubomolewa na serikali usiku ili kutoa nafasi kwa ujenzi wa nyumba za bei nafuu.
Advertisement