Back to home
NCTC Yaendelea Kushirikiana na Viongozi wa Jamii Kupambana na Ugaidi
video
C
Citizen TV (Youtube)May 25, 2026
1h ago
Shirika la Kitaifa la Kupambana na Ugaidi nchini National Counter Terrorism Centre (NCTC) limesema linaendelea kushirikiana na viongozi wa kijamii mashinani katika juhudi za kupunguza visa vya ugaidi nchini.
Advertisement
Advertisement





