Back to home

Migori Youth na Mombasa United zashika usukani NSL

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 25, 2026
1h ago
Timu za Migori Youth na Mombasa United zimepata ushindi wa bao 1-0 mwishoni mwa wiki na kusalia kileleni mwa Ligi ya Daraja la Pili (NSL), huku zikiwa zimesalia mechi nne msimu kukamilika. Migori Youth na Mombasa United wote wana alama 71 kileleni mwa ligi, huku 3K FC ikiifuata k
Advertisement