Back to home
Mashirika yawasilisha maoni kuhusu mswada wa Fedha 2026/2027 Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)May 26, 2026
1h ago
Mashirika mbalimbali yanaendelea kuwasilisha maoni yao kuhusu mswada wa fedha wa mwaka wa 2026/2027 mbele ya Kamati ya Bunge ya Fedha na Mipango jijini Nairobi.
Advertisement
Advertisement





