Back to home

Kitui yatajwa kuongoza nchini kwa ufugaji wa mbuzi wa gala

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 26, 2026
1h ago
Kaunti ya Kitui County yatajwa kuwa kinara nchini katika ufugaji wa mbuzi aina ya Gala, kulingana na Waziri wa Kilimo wa kaunti hiyo, Mbaya Kimwele.
Advertisement