Back to home
Kitui yatajwa kuongoza nchini kwa ufugaji wa mbuzi wa gala
video
C
Citizen TV (Youtube)May 26, 2026
1h ago
Kaunti ya Kitui County yatajwa kuwa kinara nchini katika ufugaji wa mbuzi aina ya Gala, kulingana na Waziri wa Kilimo wa kaunti hiyo, Mbaya Kimwele.
Advertisement
Advertisement





