Back to home
Lenku kuongoza harambee ya kumchangia mwanahabari aliyepigwa faini kajiado
video
C
Citizen TV (Youtube)May 26, 2026
1h ago
Gavana Joseph Ole Lenku anatarajiwa kuwaongoza wakazi wa Kajiado County, wakiwemo wafanyabiashara, vijana na wazee kutoka jamii ya Maa, katika harambee ya kuchangisha shilingi milioni 16 za kugharamia faini aliyotozwa mwanahabari mmoja wa eneo hilo.
Advertisement
Advertisement





